Uchaguzi 2020 Masheikh wa BAKWATA waanza kumpigia Kampeni Dkt. Magufuli waziwazi bila aibu

Sijui tumefikaje hapa?! Viongozi wa dini kutumika kufanya siasa, hiki ni kiwango kikubwa kabisa cha kufilisika sera na kuamua kutumia ushawishi wa imani kupata wafuasi wa siasa.....


Hili linahitaji kujadiliwa kwa kina...
 
Umewaona Wazee wa Gambosh walivyomtunuku manyanga Mhe Tundu Lissu pale Bariadi
Si walisema mtu atakae jitokeze kushindana na Magufuli atakufa nao walikua tayari kummaliza au kumpoteza kabisa huku DC wa Bariadi Bwn.Kiswaga Festo akisema nae yupo pamoja nao
 
Hawana tofauti na umoja wa wanawake wa CCM,hilo ni tawi maslahi la ccm,wamejificha humo wanafiki kibao.
 
Mbona mnashangilia Sheikh Ponda aliposema Waislamu wote wamchague Lissu. Je Ponda siyo kiongozi wa dini? Kumbe mkuki kwa nguruwe.
Kuna Waislam hawawaungi mkono Ponda wala Bakwata . Mmoja wapo katika hao Waislam ni mimi.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…