#COVID19 Mashetani wanatumia hadi madhabahu ya kanisa kuzuia watu wasipate chanjo ya UVIKO-19

unaweza kujadili hbr za ulimwengu ujao wkt ulipo bado hujaufahamu vzr
 
atuchanjwi atuish kwenye akili zako
inategemea unakataa kuchanjwakwa reason ipi, kuna aliyetuaminisha anaevidence za madhara na aliongea na mtengeneza chanjo alipoambiwa atoe ushahidi akamsingizia roho mtakatifu
 
Kwa mwili wa binadamu kufa na roho kuondoka Duniani na kurudi kwenye ulimwengu wa roho kabla ya kutimiza malengo ya Mungu ni furaha ya Shetani.
Andiko lako ni zito sana kwa atakayebarikiwa kuelewa.
Sio lazima mtu ufe kimwili mapema, zipo njia nyingine Shetani na Mawakala wake wanaweza kutumia, mfano kumwingia mtu na kumfanya kuwa kichaa maisha yake yote mpaka anakufa, ulevi wa kupindukia, uteja..
Kuna somo zuri nashauri kulisoma Marko 5: 1-20
 
inategemea unakataa kuchanjwakwa reason ipi, kuna aliyetuaminisha anaevidence za madhara na aliongea na mtengeneza chanjo alipoambiwa atoe ushahidi akamsingizia roho mtakatifu
wangemuoji watalam wa afya sio machawa wa ccm
 
Wewe tupe evidence kuwa hiyo chanjo ni salama la sivyo ndo wale wale mnaponda bila fact. Unazungumzia shetani wewe una uhakika hiyo chanjo sio mpango wa shetani??

Mashetani wameleta shida duniani halafu wanalaumu madhabahu
 
Asante
 
Kwani watu waliochanja mna kiherehere sana? Wewe umeshachanja na unadai upo salama piga kimya.
 
Hata mimi nimeyaona mashetani manne hapo juu... hivi na hili la chini hapo ndilo baba yao la mashetani, mbona limeungua hivyo? Au lina kansa ya misuli maana naona mifupa ya kiunzi tu
 
Watu wanalazimisha unabii kwa chanjo. Pathetic!
 
Hata mimi nimeyaona mashetani manne hapo juu... hivi na hili la chini hapo ndilo baba yao la mashetani, mbona limeungua hivyo? Au lina kansa ya misuli maana naona mifupa ya kiunzi tu
🤣🤣🤣
 
Halafu mkuu hiyo hapo nyuma ya mashetani iliyoko kama tufe hivi bila shaka ndo "madhabu" yenyewe, au siyo?
 
amina
 
Aseee kumbe kuna watu ni vichekesho😂😂,,Hivi mtu kbsa unaweka ma-alien ya Avatar,,duuuh!
 
Mlikutana wap na shetani mkapigana picha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…