#COVID19 Mashetani wanatumia hadi madhabahu ya kanisa kuzuia watu wasipate chanjo ya UVIKO-19

Umeona jina unalotumia lkn?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23]
 
ni salama kwasababu niko salama na nimechoma
Kwahiyo wewe ndio uthibitisho wa usalama? Hivi nyie watu mnatuchukuliaje yaan?
Alafu mbona mliochanja ndio mnao lia? Hii imekaaje?
 
Kwahiyo wewe ndio uthibitisho wa usalama? Hivi nyie watu mnatuchukuliaje yaan?
Alafu mbona mliochanja ndio mnao lia? Hii imekaaje?
mimi ni kithibitisho
 
Madhabau ya Kibwetere gwajiboi na mashimo tu ndio hawachanji na vilaza wao.

Sawa mungu
wewe umekua mungu wa tanzania ujuae roho za watu na utoae hukumu
 
Nyie waswahili haya mambo yako juu ya uwezo wenu wa kufikiri achaneni nayo, nawashauri mumuombe Mungu pekee ndiye atakaewasaidia. Halafu achaneni na hizi mada kabisa maana mtatowana macho kwa mambo msiyoyajua. Mtu akianzisha tena mada kama hizi nitamtukana kila mtu atashangaa.
 
Mtu akianzisha tena mada kama hizi nitamtukana kila mtu atashangaa.

πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Uwe na wiki yenye baraka na mafanikio tele mkuuπŸ™ŒπŸ™Œ
 
MLETA MADA NAWE UMETUMWA NA shetani, MUDA WENU WA KUTENDA KAZI NI MCHACHE SANA, KARIBU YUAJA BWANA WA MABWANA..

Tubu mleta mada, tafadhali sana tubu Umuombe Mungu Msamaha.
 
Ulicho kiandika ni nini
Mada kama hizi zinakosa wachangiaji kutokana Na Uongo
Wale waliokuwa wanaandaman Uingereza, Ufaransa n.k kupinga chanjo walikuwa kwenye Madhabahu ya kanisani?
 
unatusi jipya?
 
Ulicho kiandika ni nini
Mada kama hizi zinakosa wachangiaji kutokana Na Uongo
Wale waliokuwa wanaandaman Uingereza, Ufaransa n.k kupinga chanjo walikuwa kwenye Madhabahu ya kanisani?
mbona hata wewe ni mchangiaji?
 
Mleta maada saa mbovu
 
Sina elimu ya kutosha lkn sipo tayari kupewa hyo chanjo hata kwa mikwaju..
Sipo tayari hata kwa kitu gan yaan
 
Kwahiyo wewe ndio uthibitisho wa usalama? Hivi nyie watu mnatuchukuliaje yaan?
Alafu mbona mliochanja ndio mnao lia? Hii imekaaje?
Me nilisikia kuwa kuchanja ni hiari.
Lkn nowadays wanatumia nguvu nyingi sana kutulazimisha [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…