Pre GE2025 Mashindano makali ndani ya CCM, 2024 na 2025 tutaona mengi

Pre GE2025 Mashindano makali ndani ya CCM, 2024 na 2025 tutaona mengi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Watu wanasema zitatokea vurugu katika Chaguzi za 2024 na 2025 ndani ya CCM. Watu wanasema Rais Samia akipata nomination 2025, hawezi kupata 2030.

Wengine wanabisha kwamba Rais Samia atapata nomination ya 2025. Katika Chaguzi tayari mashindano makali yameanza ya kuwania nafasi mbalimbali. Wagombea wengine wanataka kushinda kwa kutumia mabavu. Mzee John Cheyo eti anasema wanataka kushinda kwa kutumia fedha.

Ukiwaona wale watu wanataka kushinda kwa kutumia nguvu, rahisi kuwabaini, na rahisi mara moja kuwaeleza wajirekebishe lakini, alas, hao watu, they are not amenable to instruction.

It remains to be seen kama uongozi wa Mama utafanikiwa kuwathibiti hawa watu wasishikane mashati, kwa sababu tayari wanasema kwamba wanataka kushikana mashati.
 
Watu wanasema zitatokea vurugu katika Chaguzi za 2024 na 2025 ndani ya CCM. Watu wanasema Rais Samia akipata nomination 2025, hawezi kupata 2030.
Mkuu Poppy Hatonn , presidential tenure ya Tanzania ni 2 terms only, hii ni 1st term ya Rais Samia, kwa mujibu wa taratibu na kanuni za CCM, nomination ya 2nd term kwa incumbent president inafanyika kwa mserereko, inatolewa fomu moja tuu ya Rais Samia, hivyo hakuna hoja ya Rais Samia akipata nomination ya 2025, ni direct nomination, ndio last term yake, hahitaji nomination ya 2030!.

The only option ya Rais Samia kutogombea 2025, ni only if, kama Rais Samia atakuwa na yeye ameisikia HII sauti na ikatokea kweli kuwa sauti HII ni sauti ya ukweli kabisa ya kwake YEYE!.

P
 
mkuu Pascal Mayalla sijajua huko CCM mambo yamekaaje ila, ili chama tawala kioneshe demokrasia ni vema wakafuata mchakato wa kumpata nominee.

Hoja ipo wazi. Madam president hajapita kwenye mchakato wowote mpaka kutwaa hiyo first term. Amekuwa Rais kwa mujibu wa katiba tu. Naweka reference mbili;

Mosi: Ndungai alipojiuzuru, Naibu wake tulia hakuwa spika automatically au hakupendekezwa tu kugombea uspika pasipo mchakato. Wanachama wenzake pia waliruhusiwa kugombea hiyo nafasi na fomu zilitolewa, fortunately lilirudi jina moja tu la Tulia.Hiyo ndio demokrasia.

Pili: Hata Marekani tunaona, incumbent president mathalani huwa anagombea mhula wa pili kwa mseleleko labda akatae mwenyewe. Ila inapotokea Vice president ametwaa madaraka kikatiba basi term inayofuata kama ana nia ya kugombea lazima apite kwenye mchakato wa mchujo kwenye chama chake.

Maoni yangu: Niseme tu kuna udhaifu kwenye katiba ya nchi na vijikatiba vya vyama vya siasa kuhusu succession protocols, hasa yakitokea mambo ambayo hayajabainishwa wazi na hivyo vitabu. Ndio maana tumepata ulakini kwenye scenarios hizi tatu;

1. Rais kufia madarakani
2. Kiti cha makamu wa Rais kuwa wazi. Haijulikani nani anafuatia.
3.Spika wa bunge kujiuzuru

Hata kama kweli Madam president anautaka urais basi hata kuwe na demokrasia ya kuigiza.
 
Watu wanasema zitatokea vurugu katika Chaguzi za 2024 na 2025 ndani ya CCM. Watu wanasema Rais Samia akipata nomination 2025, hawezi kupata 2030.

Wengine wanabisha kwamba Rais Samia atapata nomination ya 2025. Katika Chaguzi tayari mashindano makali yameanza ya kuwania nafasi mbalimbali. Wagombea wengine wanataka kushinda kwa kutumia mabavu. Mzee John Cheyo eti anasema wanataka kushinda kwa kutumia fedha.

Ukiwaona wale watu wanataka kushinda kwa kutumia nguvu, rahisi kuwabaini, na rahisi mara moja kuwaeleza wajirekebishe lakini, alas, hao watu, they are not amenable to instruction.

It remains to be seen kama uongozi wa Mama utafanikiwa kuwathibiti hawa watu wasishikane mashati, kwa sababu tayari wanasema kwamba wanataka kushikana mashati.
Hakuna kitu kibachoitwa vurugu,Rais hawezi kutawala awamu 2
 
mkuu Pascal Mayalla sijajua huko CCM mambo yamekaaje ila, ili chama tawala kioneshe demokrasia ni vema wakafuata mchakato wa kumpata nominee.

Hoja ipo wazi. Madam president hajapita kwenye mchakato wowote mpaka kutwaa hiyo first term. Amekuwa Rais kwa mujibu wa katiba tu. Naweka reference mbili;

Mosi: Ndungai alipojiuzuru, Naibu wake tulia hakuwa spika automatically au hakupendekezwa tu kugombea uspika pasipo mchakato. Wanachama wenzake pia waliruhusiwa kugombea hiyo nafasi na fomu zilitolewa, fortunately lilirudi jina moja tu la Tulia.Hiyo ndio demokrasia.

Pili: Hata Marekani tunaona, incumbent president mathalani huwa anagombea mhula wa pili kwa mseleleko labda akatae mwenyewe. Ila inapotokea Vice president ametwaa madaraka kikatiba basi term inayofuata kama ana nia ya kugombea lazima apite kwenye mchakato wa mchujo kwenye chama chake.

Maoni yangu: Niseme tu kuna udhaifu kwenye katiba ya nchi na vijikatiba vya vyama vya siasa kuhusu succession protocols, hasa yakitokea mambo ambayo hayajabainishwa wazi na hivyo vitabu. Ndio maana tumepata ulakini kwenye scenarios hizi tatu;

1. Rais kufia madarakani
2. Kiti cha makamu wa Rais kuwa wazi. Haijulikani nani anafuatia.
3.Spika wa bunge kujiuzuru

Hata kama kweli Madam president anautaka urais basi hata kuwe na demokrasia ya kuigiza.
Hakuna demokrasia ndani ya ccm bali kuna unafiki tu na utashangaa 2025 huyo mama ataserereka tu bila kupingwa na hiyo ndo maana ccm ina wenyewe na wengine mafisi
 
Back
Top Bottom