Mashindano ya African Football League (AFL )hakuna mwaka huu?

Mashindano ya African Football League (AFL )hakuna mwaka huu?

bajum

New Member
Joined
Jun 25, 2024
Posts
1
Reaction score
1
Mbona mashindano yaliyojizolea umaarufu Africa yajulikanayo kama African Football League (AFL )hayatangazwi mpaka sasa? Inamaana baada yakumuonesha mwaka jana msimu huu wamefuta ?
 
Mbona mashindano yaliyojizolea umaarufu Afica yajulikanayo kama AFL hayatangazwi mpaka sasa? Inamaana baada yakumuonesha mwaka jana msimu huu wamefuta ?

AFL ni bonanza la timu 8 tu.

Motsepe alilitengeneza ili apige hela za wadhamini, shida Wadhamini waliotegemewa wameligomea sababu bonanza hilo lina mizengwe mingi na halina ushindani. Timu zinashiriki kwa kualikwa kama harusi vile
 
AFL ni bonanza la timu 8 tu.

Motsepe alilitengeneza ili apige hela za wadhamini, shida Wadhamini waliotegemewa wameligomea sababu bonanza hilo lina mizengwe mingi na halina ushindani. Timu zinashiriki kwa kualikwa kama harusi vile
Hii siyo kweli.

Wazo kama hili lilikuwepo pia Ulaya. FIFA na CAF wakataka kuzitumia timu za Afrika kama uwanja wa jaribio hillo la mfumo huo Mpya uliokataliwa Ulaya.

Maana UEFA iliyakataa mashindano kama haya yaliyokuwa yamepewa jina la "Europe Super League" ambayo kilongola wake ilikuwa ni timu ya real Madrid.

Siyo lazima kila kitu wakijue Mzee Sunday Manara ama Jakaya Kikwete peke yao.
 
Hii siyo kweli.

Wazo kama hili lilikuwepo pia Ulaya. FIFA na CAF wakataka kuzitumia Afrika kama uwanja wa jaribio hillo la mfumo huo Mpya uliokataliwa Ulaya.

Maana UEFA iliyakataa mashindano kama haya yaliyokuwa yamepewa jina la "Europe Super League" ambayo kilongola wake ilikuwa ni timu ya real Madrid.

Siyo lazima kila kitu wakijue Mzee Sunday Manara ama Jakaya Kikwete peke yao.

Kama sio kweli... mbona shindano halipo tena ?
 
Kama sio kweli... mbona shindano halipo tena ?
Na wenyewe walisema walikuwa wanafanya Kwa majaribio.

Kumbuka pia FIFA waliulizwa kuwa ni kwa nini walisema Europe Super League ingeua Mpira wa ulaya, lakini wanasema eti African Football league itakuza Mpira wa Afrika?

Jaribio limefeli, mambo yamerudi kama zamani.
 
Back
Top Bottom