Mzalendo_Mkweli
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 2,025
- 1,270
Habari wadau wa JF. Naomba mupokee na kuendelea kuboresha hili bandiko linalohusu mashindano ya CAF kwa vilabu kwa msimu wa mwaka 2022/2023. Kwa kuanzia nitaweka misimamo kwa mashindano tajwa ambapo nitawaomba wadau muanze kutoa tathmini zenu bila matusi kuangalia mafanikio ya vilabu toka katika zile nchi (Moroko, Tunisia, Algeria, Misri,Afrika kusini na DRC Kongo) ambazo vilabu vyake vimekuwa vikitawala soka la Afrika.
Itakuwa vyema tukianza kutabiri kwa kutoa sababu kama nchi tajwa hapo juu vilabu vyake vitaendelea kutawala au kutakuwa na vilabu vya nchi zingine zinazoweza kuleta mapinduzi (surprise). Bila kujali mirendo ya Usimba na Uyanga unadhani nini nafasi ya vilabu vyetu kwenye mashindano tajwa hapo juu na nini kifanyike kuanzia mwaka huu ili vilabu vyetu viweze kufanya vizuri Zaidi kwenye haya mashindano.
Wadau wa JF karibuni
Itakuwa vyema tukianza kutabiri kwa kutoa sababu kama nchi tajwa hapo juu vilabu vyake vitaendelea kutawala au kutakuwa na vilabu vya nchi zingine zinazoweza kuleta mapinduzi (surprise). Bila kujali mirendo ya Usimba na Uyanga unadhani nini nafasi ya vilabu vyetu kwenye mashindano tajwa hapo juu na nini kifanyike kuanzia mwaka huu ili vilabu vyetu viweze kufanya vizuri Zaidi kwenye haya mashindano.
Wadau wa JF karibuni
CAF CHAMPIONS LEAGUE
CAF CONFEDERATION CUP