Mashindano ya Kimataifa ya Bao

Saleh

Member
Joined
Jun 20, 2007
Posts
11
Reaction score
5
KIBA kina mpango wa kufanya mashindano ya kimataifa ya Bao tarehe 21-22/11/2009, mjini Torino, Italia.

Wachezaji wa Bao wanatakiwa sana kushiriki.
 
KIBA kina mpango wa kufanya mashindano ya kimataifa ya Bao tarehe 21-22/11/2009, mjini Torino, Italia.

Wachezaji wa Bao wanatakiwa sana kushiriki.

SALEH,
Mzee Rashid Mfaume Kawawa ni mtaalamu mzuri wa Bao.
Atashiriki mashindano haya?
 
Exaud, unisamehe! Kwa bahati mbaya ninaishi ng'ambo, kwa hiyo sina habari za Mzee Rashid Mfaume Kawawa. Tunatarajia watashiriki wachezaji wanne kutoka Uholanzi, watano kutoka Kazakistani, wawili kutoka Ujerumani na wengi kutoka Italia. Lakini wote bado ni wanafunzi. Wengine wamejifunza kwa msaada wa tovuti: www.swahili.it/bao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…