Emmanuel Robinson
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 1,856
- 1,793
Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia kupitia Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia inapenda kuwataarifu kuwa dirisha la MAKISATU 2024 liko wazi.
Tunawakaribisha wabunifu wote kuwasilisha maombi yao kupitia link hapo chini.
Mwisho wa kutuma maombi ni Tarehe 8-5-2024.
Kwa maswali, wasiliana nasi kupitia mawasiliano yaliyoainishwa hapo juu.
Tunawakaribisha wabunifu wote kuwasilisha maombi yao kupitia link hapo chini.
Mwisho wa kutuma maombi ni Tarehe 8-5-2024.
Kwa maswali, wasiliana nasi kupitia mawasiliano yaliyoainishwa hapo juu.