This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 5,050
- 5,204
Ni kwa sababu kuna vile vinjiti viwili vinadai kuwa hii ni mara ya kwanza kitu ambacho si sahihi.Nyuzi za historia ya miaka 47 zimekuwa nyingi sana tangu Yanga ifuzu nusu fainali CAFCC
Mbumbumbu fc sindano imeingia barabara.Nyuzi za historia ya miaka 47 zimekuwa nyingi sana tangu Yanga ifuzu nusu fainali CAFCC
Kumbe ana mwanya wa ukweli. Akirembwa huyu,sina hakika sana kamaaaa.....
Tunajaribu tu kuweka kumbukumbu sawa ili upotoshaji usiendelee.Nyuzi za historia ya miaka 47 zimekuwa nyingi sana tangu Yanga ifuzu nusu fainali CAFCC
Utoto mwingi utopolo mnao.Mbumbumbu fc sindano imeingia barabara.
Tulipokua tuna waambia Yanga ndio timu ya kwanza kutoka Tanzania kucheza robo fainali ya klabu bingwa Afrika 1969 na 1970 walikua wakisema izo rekodi za Zamani.
Leo nusu fainali 1974 inaonekana ni kama Jana.
Mbumbumbu fc wanakimbizwa mchakamchaka bila kupenda.
Hongera kwa kujitoa fahamu?
Tunawaweka sawa watu wasio na maarifa. Tunajua Hakuna uto mwenye akili yakilishwa matango pori yanabugia km mazombi.Mabumunda ya mo leo mtakufa mkiwa mmesimama. Maana sio kwa kuteseka huko...! Kipigo Yanga anakitoa kwa timu zingine,lakini maumivu makali mnayapata nyie mikia. Poleni sana. Mnatia huruma.
Mm nimweka kile kilichoko kwa page za CAF.Mbumbumbu fc sindano imeingia barabara.
Tulipokua tuna waambia Yanga ndio timu ya kwanza kutoka Tanzania kucheza robo fainali ya klabu bingwa Afrika 1969 na 1970 walikua wakisema izo rekodi za Zamani.
Leo nusu fainali 1974 inaonekana ni kama Jana.
Mbumbumbu fc wanakimbizwa mchakamchaka bila kupenda.
Endeleeni na furaha zenu za kulazimisha za miaka ya 1970, sisi tumaendelea na furaha tunazozishuhudia wenyewe. Napenda kuwapa pongezi kwa kufika nusu fainali mwaka 1974, hongereni sana Simba.Swali mashindano yakibadilika jina rekodi huwa zinafutwa?
Na rekodi zinafutwa kwa Simba tu Ila kwa Al Ahly na wengine huwa hazifutwi? View attachment 2606055View attachment 2606056View attachment 2606057View attachment 2606058View attachment 2606059