Ngoja nikuache tu sababu unaona kama tunataniana.Duh!utoto gani follow instructions picha utaziona mwishoni don't doubt
Don't let the moods ban this thread things change hata FB nowadays inatumiwa hadi na wazeeIla hii Jamiiforums ya hiki kizazi imepoa saana.
Hadi mods wamepoa..ban hakuna.
Vijana hamshushi nondo kwenye nyuzi...basi nikajiambia labda mnaloweza kutongozana.
Kutongozana nako hamwezi. Sasa mnaloweza ni nini nyie?
Jukwaa limepoa hata hakuna pakupumzikia.
Bwahahaaayule niliemtumia nauli na yakutolea akalala nayo mbele sijamuona hapo! Mkuu au unaupendeleo
I begi yuwa peadoni mkuuDon't let the moods ban this thread things change hata FB nowadays inatumiwa hadi na wazee
Niko serious watapata zawadi ambazo zimekuwa mentionedNgoja nikuache tu sababu unaona kama tunataniana.
Hii thread ungekuwa umeileta ukiwa serious, nina imani mshindi wa 1,2 na tatu wangeneemeka.
Nilichogundua wavulana wanawahofia sana wasichana wenye midomo mirefu humu kwa hiyo wanaufyata kila wakutanapo kwenye mijadala.Vidada vya sasa hivi vina maneno machafu sana na makaliIla hii Jamiiforums ya hiki kizazi imepoa saana.
Hadi mods wamepoa..ban hakuna.
Vijana hamshushi nondo kwenye nyuzi...basi nikajiambia labda mnaloweza kutongozana.
Kutongozana nako hamwezi. Sasa mnaloweza ni nini nyie?
Jukwaa limepoa hata hakuna pakupumzikia.
I'm asking you not to be a causative or an influencer towards the banning of the thread let it flourishI begi yuwa peadoni mkuu
correctionDon't let the moods ban this thread things change hata FB nowadays inatumiwa hadi na wazee
Mweke na cocastic kama ni hivyo achuane na wenzieMwanaume akijifanya mwanamke itabidi tuamini ni mwanamke hakuna namna hasara kwake
Mwana kulitaka mwana kulitafuta.I'm asking you not to be a causative or an influencer towards the banning of the thread let it flourish
Ahsante mammie mi mgeni JF hata mods nilikuwa siwajui I like to learn angekuwa mwingine angechukia..correction
moods [emoji777]
mods [emoji3581]
Hapana! Mleta mada alitakiwa kuwasiliana na wahusika kabla ya kuleta bandiko hili ili apate picha zao halisi ili tupige kura na baada ya wiki or mwezi tupige mahesabu tujue nani mshindi ili apewe zawadi zake.Tumieni hata avatar zao si ndiyo huwa zinawazuzueni humu
Mwanamke anafungwa mdomo na neno moja la mwanaume.Nilichogundua wavulana wanawahofia sana wasichana wenye midomo mirefu humu kwa hiyo wanaufyata kila wakutanapo kwenye mijadala.Vidada vya sasa hivi vina maneno machafu sana na makali
Jinsia yake sijajuaga ni ipiMweke na cocastic kama ni hivyo achuane na wenzie
Waulize wadogo zako mi si mmoja wao asilaniMwanamke anafungwa mdomo na neno moja la mwanaume.
Mnakwama wapi nyie?
mbona kuna joanah wawili kuna mmoja ana avatar ya mdada yuko serious kidogo kura yangu iende kwa huyoAhsante mammie mi mgeni JF hata mods nilikuwa siwajui I like to learn angekuwa mwingine angechukia..
Ndio umchanganye humo sasa na dada zake.Jinsia yake sijajuaga ni ipi