Wakuu kwani mashindano ya olimpic yameisha? Kulikuwa na nyuzi tele humu za kuwafagilia watanzania walioenda kwenye mashindano. Mlikua mna mbwembwe wakati mnaenda ila sasa hivi kimyaaa 😂😂
Pia soma: Mwanariadha Alphonce Simbu amaliza nafasi ya 17 Olimpiki Jijini Paris, Ufaransa
Hiki kimya chenu inaonekana kabisa mlishindwa. Hamkuambulia hata medali ya shaba 😂 Mngeshinda ningeshangaa. Watanzania na michezo wapi na wapi. Sie tukalie majungu na uchawi kurogana ili tusiendelee hayo mengine tuwaachie wakenya, Rwanda na Uganda!