Kweli wameshindwa ila kuna Makandokando Mengi kwenye kamati ya Olimpiki Tanzania, Wachunguzwe
Wakuu kwani mashindano ya olimpic yameisha? Kulikuwa na nyuzi tele humu za kuwafagilia watanzania walioenda kwenye mashindano. Mlikua mna mbwembwe wakati mnaenda ila sasa hivi kimyaaa ππ
Pia soma: Mwanariadha Alphonce Simbu amaliza nafasi ya 17 Olimpiki Jijini Paris, Ufaransa
Hiki kimya chenu inaonekana kabisa mlishindwa. Hamkuambulia hata medali ya shaba π Mngeshinda ningeshangaa. Watanzania na michezo wapi na wapi. Sie tukalie majungu na uchawi kurogana ili tusiendelee hayo mengine tuwaachie wakenya, Rwanda na Uganda!
Watanganyika hatuko serious kila sehemu kuna makandokando ni aibuKweli wameshindwa ila kuna Makandokando Mengi kwenye kamati ya Olimpiki Tanzania, Wachunguzwe
Hoja ni kwamba watanzania ni mzigo hakuna kitu tunajuahoja hapa ni nini
Kwani ya CAF tulishinda?!Ukiona mqshindano hakuna hata motosha kutoka kwa wanasiasa kama yale ya CAF ,champions legue ujue hao walikuwa wanaenda kujaribu bahati yao ya kutafuta Ugali.
TulijitutumuaKwani ya CAF tulishinda?!
Kwanini usiseme wewe ni mzigo? Ni nani alikuteua kuwa msemaji wa Watanzania?Hoja ni kwamba watanzania ni mzigo hakuna kitu tunajua