Tumbo Tumbo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 1,278
- 1,553
Wakuu Habari Ya Malaro,
Hivi kwa mtazamo wenu,
1. Kwanini tunafanya UMITASHUMTA?
2. Hawa washindi wa mashindano haya huwa wanakwenda wpi?
3. Hii michezo faida yake ni nini haswa ikishafungwa? Au tunakutana tena mwakani kufanya mingine?!
4. Mfano, mazao ya michezo hii kwa miaka saba mpaka sasa yako wapi?
4. Je tunafanya kwa kukamilisha ratiba au kwa lengo?!
Asanteni
Hivi kwa mtazamo wenu,
1. Kwanini tunafanya UMITASHUMTA?
2. Hawa washindi wa mashindano haya huwa wanakwenda wpi?
3. Hii michezo faida yake ni nini haswa ikishafungwa? Au tunakutana tena mwakani kufanya mingine?!
4. Mfano, mazao ya michezo hii kwa miaka saba mpaka sasa yako wapi?
4. Je tunafanya kwa kukamilisha ratiba au kwa lengo?!
Asanteni