Mashindano ya urembo wa top 5 yameishia wapi??

Mashindano ya urembo wa top 5 yameishia wapi??

Job K

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2010
Posts
9,314
Reaction score
7,149
attachment.php


Kule kwenye Jukwaa la Siasa kulikuwa na mashindano ya urembo wa wabunge wetu wa viti maalum. Thread ikafungwa kabla hajapatikana mshindi, lakini mimi moyo wangu ukawa umemdondokea huyu!! Hivi ndivyo alivyo au ni make up ndo zinawasaidia hawa watu wetu? Kadada ni karembo lakini! Ingawa kulikuwa na habari nyingi kwamba mara sijui kamekwapua vitu gani hotelini huko Arusha? Mara Ubelgiji sijui kamekwapua mkufu? Hivi ilikuwa kweli au raia walikuwa wanamzushia huyu mremb wangu wa mwezi?
 
Bunge limemkataza huyo mtu kusafili nje ya nchi kwa sababu ya aibu aliyoitia nchi hii kuiba mkufu harafu anajifanya anataka jimbo la mbeya mjini,kwa nini watu wa mbeya wanaonewa kiasi hiki,sugu nae tatizo
 
Ha ha haa
ha haaaaaaaa
Nilikuwa zamu ya usiku
au umeshasahau.

Muone vile!
Usubui-usubui kimekuleta nini huku? Kama sio umbea?
Hata muda wa chai haujajiri ushaswampa majukwaa ma3 !
Khaa!
 
Ha ha haaa
Unataka upime uzuri wangu kwenye nini kwani?
Dada/Mama wewe jipitie tu maana huna uzuri wa kujipima na huyo mdada "she is so beautiful". Tukipata na ya kwako tutakubandika!
 
Ngoja nitafute hiyo jezi niitie
ndo nijipime kuanzia hapo.
 
Dada/Mama wewe jipitie tu maana huna uzuri wa kujipima na huyo mdada "she is so beautiful". Tukipata na ya kwako tutakubandika!

Kijana shika adabu zako! Tena koma ukomae !
Huyu unaezungumza nae kumpima uzuri unamjua ? Uzuri wake wewe unakuhusu nini ?
Shombo jazzband wee!
Blood msongoma!
 
Nakupendea hapo hapo;
Hawa madogo wana matatizo sana ujue.
Asante mwaya.

Kijana shika adabu zako! Tena koma ukomae !
Huyu unaezungumza nae kumpima uzuri unamjua ? Uzuri wake wewe unakuhusu nini ?
Shombo jazzband wee!
Blood msongoma!
 
Back
Top Bottom