Mashine hizi nitatoa wapi?

Mashine hizi nitatoa wapi?

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Anaejua mashine za kusaga plastics Hadi zinakuwa kama unga naomba info..

Hata kama mashine ni locally made..
Plastic kama chupa za maji na vifuniko vyake..
 

Jaribu hawa
 
Back
Top Bottom