Mashine kupindia upande wa kulia

Ntandaba

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
922
Reaction score
1,483
Habarini,

Kuna dawa yeyote ya kunyoosha ili iwe inanyooka?
Nimeona kama ni tatizo kwa wale waliobahitika kupitiwa wanalalamika mno kuwa wanaumizwa hususan pale inapokuwa inakoboa vilivyo.

Ushauri wenu tafadhali
 
[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji85] [emoji85]
 
habarini
Kuna dawa yeyote ya kunyoosha ili iwe inanyooka?
Nimeona kama ni tatizo kwa wale waliobahitika kupitiwa wanalalamika mno kuwa wanaumizwa hususan pale inapokuwa inakoboa vilivyo
Ushauri wenu tafadhali
Kupinda kwa mashine hakusababishi wakiukalia waumie.
Kupinda kwa mashine huchangiwa na aina ya mlalo au m-bano ambao umezoe kubania kwa kutumia nguo ya ndani (pichu).
Ukiona wanaumia, basi ujue heshima imekua kubwa aiseeee...... tena yawezekana ukawa na ulemavu, na usipo jiangalia unaweza kuja pata lawama kwa kuharibu kizazi cha hao unao wakoboa.
Nakushauri ukawekewe ring/pete kwenye hogo
 
Kumbe!ahsante kwa ushaur wako
 
We naye kupinda kwani shida gani? Ikipinda kulia itakuwa inasugua ukuta wa kushoto na ikipinda kushoto itasugua ukuta wa kulia hapo lazima anene kwa lugha.
ha ha ha ha...
"anene kwa lugha"
mbona kasheshe hii
 
sasa g spot ni nn jamen, aah vtu vingne bhna tuite labda ka gololi tu kale
 
Itakuwa na matege. Natania tu, nadhani ni maumbile tu kama walio na mitwangio au vibamia. Wala usiwaze kijana ni maumbile tu.
 
Okay, seen! Let's wait professional doctors to comment!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…