INAUZWA Mashine ndogo ya kusaga na kukoboa (2 in 1) mahindi, mpunga, viungo vikavu

INAUZWA Mashine ndogo ya kusaga na kukoboa (2 in 1) mahindi, mpunga, viungo vikavu

Kichina44

New Member
Joined
Sep 24, 2022
Posts
2
Reaction score
0
MASHINE NDOGO YA KUSAGA NA KUKOBOA (2 in 1) mahindi, mpunga, viungo vikavu nk

Mashine MPYA
Bei 1,500,000/=

Mashine ipo DAR

●Mashine ina pande mbili, upande mmoja ni wa kusaga na upande wa pili ni wa kukoboa.
●Inaweza koboa mpunga, mahindi, n.k
●Inaweza saga mahindi, mchele, manjano, kahawa, mtama n.k
Inatumia umeme wa kawaida wa majumbani
●inasaga na chakula cha mifugo

Unaweza itumia kwa matumizi binafsi au kukodisha

Mashine ni MPYA

Inasaga na kukoboa zaidi ya kilo 300 kwa saa

Namba 0754385573
Au 0686792229

20220618_123347.png
928373538.png
 
Je inakamua na kuchuja kwa kiwango gani?
 
Back
Top Bottom