INAUZWA Mashine ya kuchongea thread za bomba za maji safi na taka

INAUZWA Mashine ya kuchongea thread za bomba za maji safi na taka

lyenyi

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2020
Posts
2,651
Reaction score
7,299
Habari natafta mashine ya kuchongea thread za bomba, inayoishia inch nne. 4"
Unaweza nielekeza duka, au kama unayo waweza kuja pm.
Mfano wa hizo mashine ni hizo pichani

IMG-20210731-WA0006.jpg

View attachment 1880649View attachment 1880650
 
Habari natafta mashine ya kuchongea thread za bomba, inayoishia inch nne. 4"
Unaweza nielekeza duka, au kama unayo waweza kuja pm.
Mfano wa hizo mashine ni hizo pichaniView attachment 1880646View attachment 1880647
View attachment 1880649View attachment 1880650
Kama upo Dar, nenda pale BNC ipo upande wa kushoto kuelekea njia ya cocakola ukitokea Mwenge mataa, baada ya kulipita ghorofa linaitwa Josam.. Wale jamaa wana almost kila aina ya vifaa, spana, mashines etc ambazo mafundi tunazihitaji
 
Kama upo Dar, nenda pale BNC ipo upande wa kushoto kuelekea njia ya cocakola ukitokea Mwenge mataa, baada ya kulipita ghorofa linaitwa Josam.. Wale jamaa wana almost kila aina ya vifaa, spana, mashines etc ambazo mafundi tunazihitaji
Bro ahsante, nitafanya hivyo
 
Kama upo Dar, nenda pale BNC ipo upande wa kushoto kuelekea njia ya cocakola ukitokea Mwenge mataa, baada ya kulipita ghorofa linaitwa Josam.. Wale jamaa wana almost kila aina ya vifaa, spana, mashines etc ambazo mafundi tunazihitaji
Kama una namba yao karibu nitumie pm
 
Dye inaanzia nusu nchi "hadi 4"k.koo ziko kibao bei ni 220000 hadi 300000 ila kuna za kawaida famba bei ni 150000 hadi 200000.
Naomba kama una namba za duka ambazo naweza ipata hata sahizi boss
Nitumie pm
 
Back
Top Bottom