Kama upo Dar, nenda pale BNC ipo upande wa kushoto kuelekea njia ya cocakola ukitokea Mwenge mataa, baada ya kulipita ghorofa linaitwa Josam.. Wale jamaa wana almost kila aina ya vifaa, spana, mashines etc ambazo mafundi tunazihitajiHabari natafta mashine ya kuchongea thread za bomba, inayoishia inch nne. 4"
Unaweza nielekeza duka, au kama unayo waweza kuja pm.
Mfano wa hizo mashine ni hizo pichaniView attachment 1880646View attachment 1880647
View attachment 1880649View attachment 1880650
Bro ahsante, nitafanya hivyoKama upo Dar, nenda pale BNC ipo upande wa kushoto kuelekea njia ya cocakola ukitokea Mwenge mataa, baada ya kulipita ghorofa linaitwa Josam.. Wale jamaa wana almost kila aina ya vifaa, spana, mashines etc ambazo mafundi tunazihitaji
Kama una namba yao karibu nitumie pmKama upo Dar, nenda pale BNC ipo upande wa kushoto kuelekea njia ya cocakola ukitokea Mwenge mataa, baada ya kulipita ghorofa linaitwa Josam.. Wale jamaa wana almost kila aina ya vifaa, spana, mashines etc ambazo mafundi tunazihitaji
Poa, tena bei wamebandika kwenye kila item, ila uneweza lialia wakakuelewaBro ahsante, nitafanya hivyo
Dye inaanzia nusu nchi "hadi 4"k.koo ziko kibao bei ni 220000 hadi 300000 ila kuna za kawaida famba bei ni 150000 hadi 200000.Habari natafta mashine ya kuchongea thread za bomba, inayoishia inch nne. 4"
Unaweza nielekeza duka, au kama unayo waweza kuja pm.
Mfano wa hizo mashine ni hizo pichaniView attachment 1880646View attachment 1880647
View attachment 1880649View attachment 1880650
Na ununue na vauce sasa hizo utachongaje au unayoBro ahsante, nitafanya hivyo
Pole sana brooVauce ipo, hiyo tu ndio nimeibiwa
Kama una namba yao karibu nitumie pm
K.koo maduka ni mengi ni kuzunguka tuu kila duka maduka ya gerezani mtaa wa lindi na omarlondo mtaa wa swahili mtaa wa gogo kote hukoUnaweza nielekeza pm duka kwa jina, namba zao za simu, ahsante
Una maaana vice ?Na ununue na vauce sasa hizo utachongaje au unayoU
UKIKOSA HAPO INBOX ME NKULETEE TOKA NJEUnaweza nielekeza pm duka kwa jina, namba zao za simu, ahsante
Ndio bwasheeUna maaana vice ?