MJ18
Member
- Jul 2, 2018
- 53
- 52
Habari wanaJamvi,
Nauza mashine yangu ya kukamua mbegu zenye mafuta. Ina uwezo wa kukamua alizeti, nyonyo, karanga, nk. Inatumia umeme wa 3 phase model ggzx-80.
Technical details za mashine zipo kwny picha hizi chini. Mashine ipo Goba Mpakani, DSM. Kwa maelezo zaidi nipigie 0684910695.
Bei ni 9m. Karibu tufanye biashara.
NB: Mashine bado ni mpya, changamoto za maisha zinafanya niiuze hata kabla ya kuitumia.
Nauza mashine yangu ya kukamua mbegu zenye mafuta. Ina uwezo wa kukamua alizeti, nyonyo, karanga, nk. Inatumia umeme wa 3 phase model ggzx-80.
Technical details za mashine zipo kwny picha hizi chini. Mashine ipo Goba Mpakani, DSM. Kwa maelezo zaidi nipigie 0684910695.
Bei ni 9m. Karibu tufanye biashara.
NB: Mashine bado ni mpya, changamoto za maisha zinafanya niiuze hata kabla ya kuitumia.