Mashine ya kukamua alizeti

Mashine ya kukamua alizeti

Mutensa

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2009
Posts
421
Reaction score
92
Wakubwa heshima mbele,
Naomba kujua mahali wanapokamua alizet hapa dar. Nafikiria kulima zao hili ukanda huu wa pwani lakini sijajipanga kununua mashine ya kukamua, hivyo ningenufaika kama mtu atanijuza wapi naweza kukamulia baada ya kuvuna.
Natangulia shukrani.
 
Back
Top Bottom