INAUZWA Mashine ya kukamua juice ya miwa inauzwa

KingPower

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2015
Posts
1,115
Reaction score
1,807
Habari za weekend, Wakuu.

Husika na mada tajwa hapo juu, Waswahili wanasema kimfaacho mtu chake,

Ninauza iyo machine ya kukamulia Juice ya MIWA, ipo Tanga kwa Bei ya 850K,

Ipo katika hali nzuri inatumia umeme, na toka nimeinunua nimeitumia kwa mwezi mmoja Tu,

Karibu Sana.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…