KingPower JF-Expert Member Joined Jun 8, 2015 Posts 1,115 Reaction score 1,807 May 5, 2024 #1 Habari za weekend, Wakuu. Husika na mada tajwa hapo juu, Waswahili wanasema kimfaacho mtu chake, Ninauza iyo machine ya kukamulia Juice ya MIWA, ipo Tanga kwa Bei ya 850K, Ipo katika hali nzuri inatumia umeme, na toka nimeinunua nimeitumia kwa mwezi mmoja Tu, Karibu Sana.
Habari za weekend, Wakuu. Husika na mada tajwa hapo juu, Waswahili wanasema kimfaacho mtu chake, Ninauza iyo machine ya kukamulia Juice ya MIWA, ipo Tanga kwa Bei ya 850K, Ipo katika hali nzuri inatumia umeme, na toka nimeinunua nimeitumia kwa mwezi mmoja Tu, Karibu Sana.
S Sir himself Member Joined May 5, 2023 Posts 7 Reaction score 7 Aug 8, 2024 #2 Habari, hii mashine Bado IPO? Naweza ipata?? Kama ndio weka namba yako
KingPower JF-Expert Member Joined Jun 8, 2015 Posts 1,115 Reaction score 1,807 Aug 8, 2024 Thread starter #3 Sir himself said: Habari, hii mashine Bado IPO? Naweza ipata?? Kama ndio weka namba yako Click to expand... Ndio unaweza kuipata
Sir himself said: Habari, hii mashine Bado IPO? Naweza ipata?? Kama ndio weka namba yako Click to expand... Ndio unaweza kuipata
OttoThyPrince Senior Member Joined Jun 24, 2020 Posts 113 Reaction score 80 Oct 22, 2024 #4 Naomba namba yako