INAUZWA Mashine ya kukamua juisi ya miwa (inatumia umeme)

INAUZWA Mashine ya kukamua juisi ya miwa (inatumia umeme)

Joined
Jun 4, 2015
Posts
38
Reaction score
26
Bei 1,180,000/=
mashine ni mpya

Mashine ya kukamua juisi ya miwa (Ya umeme)
🔴Ina uzito 65kg
🔴Inatumia umeme wa kawaida wa majumbani 220V, motor 0.75KW
🔴ukubwa wake 430*350*920mm
🔴material yake ni stainless steel inayodumu kwa muda mrefu
🔴Inaweza kukamua juisi 300kg kwa saa
🔴bei 1,180,000/=

Kwa maelezo zaidi au kununua, njoo inbox au piga namba 0754385573 au njoo whatsapp +8615721537610

Mashine ipo Dar, na ni moja tu mpya
 

Attachments

  • 120241215-102736_Gallery.jpg
    120241215-102736_Gallery.jpg
    574.1 KB · Views: 9
  • 120241215-102753_Gallery.jpg
    120241215-102753_Gallery.jpg
    999.5 KB · Views: 6
  • 20241215_102809.png
    20241215_102809.png
    723.3 KB · Views: 7
Mashine bei inapungua hadi 1,080,000 tshs. Ukileta mteja akinunua unapata 5% commission.

Karibuni
 
Back
Top Bottom