Anzisha biashara ya kukamua mafuta kwa kutumia mashine isiyotumia umeme hata kidogo. Mashine inap9atikana kwa bei ya tshs 320,000 tu piga simu 0783555439 au 0717498932
Anzisha biashara ya kukamua mafuta kwa kutumia mashine isiyotumia umeme hata kidogo. Mashine inap9atikana kwa bei ya tshs 320,000 tu piga simu 0783555439 au 0717498932
wewe kuwa makini ktk biashara, mashine aina gani, ina uwezo gani, fafanua tafadhali. Isije kuwa mashine ya kukzungusha kwa mikoni yenye uwezo wa kukamua lita mbili za mafuta kwa saa halafu unasema mtu aanzishe biashara!!!!!
Ni kweli tutaanzisha biashara kwa kutumia machine uliyoipendekeza. Ila ni vyema ukatoa specs zake kama make, uwezo, inatumia nishati gani nk. Sifa pekee kubwa uliyoipa ni kwamba haitumii umeme lakini inaweza kuwa inatumia msuli kupita kiasi hii ikaleta shida na ikaonekana bora ingekuwa inatumia umeme.