tisa desemba
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 434
- 115
Kariakoo mataa wa kongo barabara ya uhuru upande wa kulia kama unaenda mnazi mmoja. Zunguka kwenye ile mitaa utaziona nyingi tu.
Wapi znapatkana c tatizo,maeneo yote ya gerezani ndio maduka yake ilimradi uwe na muda kdogo,ishu ni je uko familia na hizo mashine? La cvyo tegemea 'kanyanga'. kila lakheri