INAUZWA Mashine ya kukatia miti chainsaw inauzwa

INAUZWA Mashine ya kukatia miti chainsaw inauzwa

Blance93

Member
Joined
Feb 24, 2022
Posts
17
Reaction score
12
Screenshot_20230708-094432_1688798689638.jpg
Screenshot_20230708-094536_1688798846449.jpg
Screenshot_20230708-094541_1688798786615.jpg
Screenshot_20230708-094555_1688798769556.jpg


Chainsaw aina ya Newtop inauzwa

Imetumika miezi mitatu,ipo katika hali nzuri kabisa haina tatizo lolote,nililinunua kwa ajili ya kuandaa shamba sasa nimemaliza sina uhitaji nayo tena ndo maana nimeamua kuiuza.

Mashine ni newtop 272 spea zinapatikana bila tatizo kwan zinaingiliana na Hus272

Output&speed:3.6kw/8000rpm
Chain pitch 3/8
Bei 750,000
Ipo Dar es salaam
Piga/whatsapp 0718512546
 
Ngoja wenye miti yao ya kuvuna waje faster. Bei iko vizuri. Na mashine pia inaonekana bado iko in order kabisa.
 
Back
Top Bottom