ankol
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 2,355
- 4,260
Habari ndugu zangu,
Ndoto yangu ni kumiliki hii mashine na kufungua kiwanda changu kidogo cha kukaushia dagaa kanda ya ziwa.
Nimeangalia ina kost $3,000 tu jumlisha na shipping cost kama $2,000. Mwenye ujuzi juu ya hii mashine naomba anipe muongozo nipembue mbivu na mbichi.
Karibuni.
Ndoto yangu ni kumiliki hii mashine na kufungua kiwanda changu kidogo cha kukaushia dagaa kanda ya ziwa.
Nimeangalia ina kost $3,000 tu jumlisha na shipping cost kama $2,000. Mwenye ujuzi juu ya hii mashine naomba anipe muongozo nipembue mbivu na mbichi.
Karibuni.