Mashine ya kupandia akizeti

Mashine ya kupandia akizeti

Joined
Oct 4, 2018
Posts
13
Reaction score
28
Habari wakuu ,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nahtaji kulima alizet ila sifahamu mashine ya kupandia akizet ipoje na inauzwa bei gani ..kwa mwenue uzoefu na hiyo anaweza tuma mchango hapa hata kunitumia picha na kama yupo songea anaweza nielekeza mashine inapouzwa au inapokodishwa....
Nawasilisha
Kamanda Yoab
 
Back
Top Bottom