Mashine ya Kusaga Chupa za Plastic

Mashine ya Kusaga Chupa za Plastic

activemedia africa

Senior Member
Joined
May 28, 2013
Posts
141
Reaction score
26
Habari,

Nina taka kuanza biashara ya kununua chupa za plastiki na kusisaga na kuziuza kwenye makampuni yanayohitaji hizo maligafi.

Naomba Mnisaidia naweza kupata wapi Mashine za kusaga hizo chupa za plastiki.


Shukrani
 
mkuu machine.jpgspecs ndo hizo FOB price ni dola 2500.
 
mkuu View attachment 140443specs ndo hizo FOB price ni dola 2500.


Thanks.... Naweza kupata details zaidi kama:

1. CIF itakuwa bei gani, ama mpaka naifikisha hapa TZ itanigharimu sh ngapi?

2. We ni wakala ama nta deal na kmapuni ipi? unaweza kunipa link.

3. Guarantee ikoje?

4. Kuna aina hiyo hiyo moja tu? Kwa nini unadhani hiyo ndio aina nzuri.

Natanguliza Shukrani
 
Back
Top Bottom