Mashine ya Kusaga Chupa za Plastic

activemedia africa

Senior Member
Joined
May 28, 2013
Posts
141
Reaction score
26
Habari,

Nina taka kuanza biashara ya kununua chupa za plastiki na kusisaga na kuziuza kwenye makampuni yanayohitaji hizo maligafi.

Naomba Mnisaidia naweza kupata wapi Mashine za kusaga hizo chupa za plastiki.


Shukrani
 
Ni Pm bajeti yako ya kununua hiyo mashine mkuu
 
mkuu View attachment 140443specs ndo hizo FOB price ni dola 2500.


Thanks.... Naweza kupata details zaidi kama:

1. CIF itakuwa bei gani, ama mpaka naifikisha hapa TZ itanigharimu sh ngapi?

2. We ni wakala ama nta deal na kmapuni ipi? unaweza kunipa link.

3. Guarantee ikoje?

4. Kuna aina hiyo hiyo moja tu? Kwa nini unadhani hiyo ndio aina nzuri.

Natanguliza Shukrani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…