INAUZWA Mashine ya kusaga inauzwa!

cleokippo

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2014
Posts
2,118
Reaction score
1,797
Mashine ya kusaga onauzwa

mashine bado ipo kwenye hali nzuru kabisa , ina mwezi mmoja tangu itoke dukani

aina ya mashine ni YD , HP 20 , pia inatumika kuchania mbao au kumwagilia

mashine ipo Sengerema - Mwanza na bei ni M1.5

kwa mawasiliano zaid piga 0658 546818

 
kama ni mwezzi mmoja tu iko hali hiyo, ikifika miezi sita itakuwa balaa mkuu
 
Tafuta wateja sehemu ambayo REA hawajafika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…