Mashine ya Kusaga mahindi inakodishwa

Mashine ya Kusaga mahindi inakodishwa

Gloriamagret

Member
Joined
Jun 12, 2023
Posts
47
Reaction score
155
Mashine kubwa horse.power 50.ina.kini cha kusaga na kukoboa.ina sehemu kubwa ya kuhifadhi mahindi.ipo njiani sehemu yenye watu wengi.

Ipo DSM Kitunda magole stendi bei ya pango kwa mwezi 150,000.

Napokea kodi kuanzia miezi sita.

Utalipa kodi leseni na mapato TRA.

Inafanya biashara mpaka leo tatizo sina msimamizi makini na na mwaminifu.

Ina mashine ya kushona mifuko.

Mizani kubwa nk.

Nipigie tufanye biashara. 0754 279035
 
Mashine kubwa horse.power 50.ina.kini cha kusaga na kukoboa.ina sehemu kubwa ya kuhifadhi mahindi.ipo njiani sehemu yenye watu wengi.ipo.DSM kitunda magole stendi bei ya.pango kwa mwezi 150.000.napokea kodi kuanzia miezi sita.utalipa kodi .leseni na mapato TRA.ina fanya.biashara mpaka leo.tatizo sina msimamizi makini na na mwaminifu.ina mashine ya kushona mifuko.mizani kubwa nk.nipigie tufanye biashara. 0754 279035
Ndugu kama ukibadili mawazo naukawa unauza naomba nitafute PM tufanye biashara
 
Siuzi.nakodisha tu.baada ya miaka nitaendesha mwenyewe kitaalam nikipata muda
 
Bila picha huu Uzi naona tu kama nyuzi za @kidukulilo
 
Siuzi.nakodisha tu.baada ya miaka nitaendesha mwenyewe kitaalam nikipata mudjee
Jee mtu akihitaji kuchukuwa Kwa Mkataba wa miaka MITATU , Ila analipa Kodi ya miezi miwili miwili CV kupitia akaunti ya Banki, piya kuwe na kipengele kwenye mkataba ambacho kitatufunga wote wawili atakayevunja Mkataba.
 
Mashine kubwa horse.power 50.ina.kini cha kusaga na kukoboa.ina sehemu kubwa ya kuhifadhi mahindi.ipo njiani sehemu yenye watu wengi.

Ipo DSM Kitunda magole stendi bei ya pango kwa mwezi 150,000.

Napokea kodi kuanzia miezi sita.

Utalipa kodi leseni na mapato TRA.

Inafanya biashara mpaka leo tatizo sina msimamizi makini na na mwaminifu.

Ina mashine ya kushona mifuko.

Mizani kubwa nk.

Nipigie tufanye biashara. 0754 279035
Mkuu bado ipo hii kitu?
 
Back
Top Bottom