Toa information zaidi,unaifunga wapi maeneo gani musoma,Arusha au Dar,halafu eneo unalo?Jengo la kuweka mashine hiyo unalo,ni mashine ya kusaga tu au na kukoboa?eneo hilo lina wingi wa watu wa kutosha?mashine ya ukubwa gani?provide more details.
Toa information zaidi,unaifunga wapi maeneo gani musoma,Arusha au Dar,halafu eneo unalo?Jengo la kuweka mashine hiyo unalo,ni mashine ya kusaga tu au na kukoboa?eneo hilo lina wingi wa watu wa kutosha?mashine ya ukubwa gani?provide more details.