Mashine ya Kusaga na Kukoboa

Mashine ya Kusaga na Kukoboa

Enny

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
962
Reaction score
130
Habari wana JF. Natafuta mashine ya kukoboa na kusaga inayotumia diesel kwani nataka kupeleka kijijini ambako umeme haupo na watu wanatembea umbali mrefu kwenda kupata huduma hiyo.

Mwenye idea ya hizi mashine naomba msaada ni aina gani ya mashine ndiyo inafaa zaidi ya zingine na bei zinaendaje?

Natanguliza shukrani zangu kwenu.
 
Habari wana JF. Natafuta mashine ya kukoboa na kusaga inayotumia diesel kwani nataka kupeleka kijijini ambako umeme haupo na watu wanatembea umbali mrefu kwenda kupata huduma hiyo.

Mwenye idea ya hizi mashine naomba msaada ni aina gani ya mashine ndiyo inafaa zaidi ya zingine na bei zinaendaje?

Natanguliza shukrani zangu kwenu.


Samahani, hata Dar we weka tu si unaona umeme wenyewe wa mgao!
 
watakuambia hapa wataalam, ila za diesel niliziona siku nyingi maana kuna baadhi ya vijiji umeme upo so wanatumia za umeme
 
Sijaona hizo contact ndugu yangu. Naomba niwekee hapa nimeshindwa kufungua hiyo sms
 
nime ku pm contact
Sijaona hizo contact ndugu yangu. Naomba niwekee hapa samahani kwa usumbufu maana siwezi kufungua ingawa kuna sms ilisema kuna private message
 
Nenda barabara ya morogoro ................agro mechanics
 
Sijaona hizo contact ndugu yangu. Naomba niwekee hapa samahani kwa usumbufu maana siwezi kufungua ingawa kuna sms ilisema kuna private message

Fanya hivi:

Angalia hapo juu kulia pameandikwa haya:

Welcome, Enny.
You last visited: ....... at ......................
Private Messages: Unread 1, Total 1.

Gonga hapo palipoandikwa Private Messages, itatokea menu ndefu, chagua unread message...utakuwa umeshafika kny message hiyo! Ukishindwa, shout tu will help you!
 
Ahsante nashukuru nitawatrace

Hivi MMT nao nilisikia wanatengeneza mashine kama hizo pamoja na vipuli vyake. Sijui kwa sasa kama wameongeza au kuua uzalishaji maana ni SU(shirika la umma) ile.
 
hivi mmt nao nilisikia wanatengeneza mashine kama hizo pamoja na vipuli vyake. Sijui kwa sasa kama wameongeza au kuua uzalishaji maana ni su(shirika la umma) ile.
mmt kirefu chake ni nini?
 
Back
Top Bottom