Mashine ya kutengeneza bisi naiuza

Isaac23

Member
Joined
Feb 27, 2018
Posts
13
Reaction score
0
Habari za muda huu. Maana jamii. Kama tangazo linavyosema nina machine ya kutengeneza bisi (porpcorn machine) naiuza bei laki 3 Machine inatumia umeme ipo Lushoto bado ipo vizuri. Nimeona niiuze baada ya kupata kazi nyingine na sina muda wa kufanya nayo kazi tena. Karibuni
 
Acha ujinga mkuu.. Hiyo laki3 n bei ya mpya tena mliman city.. Punguza bei upate mteja..
 
 
Huyu jamaa atakuwa n dalali tu aisee
Hahaha mimi sio dalali nauza mashine yangu mwenyewe. Kiufupi nilinunua hiyo nikiwa na lengo la kuanzia maisha ya kitaa baada ya kumaliza chuo. Mungu amesaidia nimepata kazi baada ya kumaliza chuo hivyo sitakuwa na muda nayo. Mashine ipo katika hali ya upya boks lake na sisiti ninayo. Useme una bei gani nione kama itafaa uchukue
 
Tuone PICHA YAKE...
Mkuu picha Sina hapa. Mashine nimeiacha nilipokuwa lushoto kwa sasa nipo mkoa mwingine kituo cha kazi. Kama upo huko naweza kukuelekeza kwenda kuiona kanza ndio tuongee biashara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…