Mashine ya kutengeneza mkaa inauzwa

Mashine ya kutengeneza mkaa inauzwa

Kwa maelezo zaidi 0758 308193

Mkuu,
Hii mashine si ya kwako nini?
Naona kama umefukuzwa hivi yaani post haina mvuto. Weka hata Picha basi! Mbona wanaouza bidhaa zao humu kama magari n.k huwa wanaweka picha na wengine wanaenda mbali zaidi kwa kuweka hata initial price. Linapokuja suala la bargaining ndo ku-PM au simu zinaanzia hapo.
Funguka mkuu.
 
Mkuu,
Hii mashine si ya kwako nini?
Naona kama umefukuzwa hivi yaani post haina mvuto. Weka hata Picha basi! Mbona wanaouza bidhaa zao humu kama magari n.k huwa wanaweka picha na wengine wanaenda mbali zaidi kwa kuweka hata initial price. Linapokuja suala la bargaining ndo ku-PM au simu zinaanzia hapo.
Funguka mkuu.

Sawa kabisaaaaa.
 
Mkuu,
Hii mashine si ya kwako nini?
Naona kama umefukuzwa hivi yaani post haina mvuto. Weka hata Picha basi! Mbona wanaouza bidhaa zao humu kama magari n.k huwa wanaweka picha na wengine wanaenda mbali zaidi kwa kuweka hata initial price. Linapokuja suala la bargaining ndo ku-PM au simu zinaanzia hapo.
Funguka mkuu.

Labda ni ya wizi,
sasa anaogopa akiweka picha mwenyewe ataing'amua...
 
Mashine hii inauwezo wa kutengeneza gunia kubwa 2 -4 kwa siku kutegemeana na spidi ya mkono wako. Inauzwa sh 136000 na imetumika kwa miezi 3 tu. Iko makongo juu ukitaka kuiona. Ukinunua nakupa mafunzo ya kutengeneza mkaa bure.

Kama utakuwa unauza gunia zako kwa sh 30000 basi na ukatengeneza gunia 3 kwa Siku basi utakuwa unaingiza sh 90000 kwa Sikh na hela yako ya mashine itarudi baada ya siku 2 tu

Picha very soon
 
Hakuna specification zozote, hata maandazi unaelezea yakoje, achilia mbali kitu sensitive kama machine..unaweza usiweke picture atleast elezea vitu kama Capacity, type of briqquete machine, power consumption, phase ngapi? production rate per day or hour..But wewe unaweka maelezo hafifu..Try to be smart mkuu
 
Mashine hii inauwezo wa kutengeneza gunia kubwa 2 -4 kwa siku kutegemeana na spidi ya mkono wako. Inauzwa sh 136000 na imetumika kwa miezi 3 tu. Iko makongo juu ukitaka kuiona. Ukinunua nakupa mafunzo ya kutengeneza mkaa bure.

Kama utakuwa unauza gunia zako kwa sh 30000 basi na ukatengeneza gunia 3 kwa Siku basi utakuwa unaingiza sh 90000 kwa Sikh na hela yako ya mashine itarudi baada ya siku 2 tu

Picha very soon


Ni manual? drum press au type gani? toa technical information mkuu
 
Mashine hii inauwezo wa kutengeneza gunia kubwa 2 -4 kwa siku kutegemeana na spidi ya mkono wako. Inauzwa sh 136000 na imetumika kwa miezi 3 tu. Iko makongo juu ukitaka kuiona. Ukinunua nakupa mafunzo ya kutengeneza mkaa bure.

Kama utakuwa unauza gunia zako kwa sh 30000 basi na ukatengeneza gunia 3 kwa Siku basi utakuwa unaingiza sh 90000 kwa Sikh na hela yako ya mashine itarudi baada ya siku 2 tu

Picha very soon

Atleast sasa angalau tupate pa kuanzia. Nangoja picha miye.
 
We Biashara2000 siku zote upo kibiashara zaidi hata kwa visivyouzika.
 
Last edited by a moderator:
We Biashara2000 siku zote upo kibiashara zaidi hata kwa visivyouzika. Mashine umeitumiaa ilipochoka ndo unatuuzia sisi!
 
Last edited by a moderator:
Atleast sasa angalau tupate pa kuanzia. Nangoja picha miye.

njoo uione nikupe punguzo kubwa la bei. Tena ina sehemu ya kufungia mota kama huko baadase utataka kuifanya itumie umeme kuongeza uzalishaji hadi gunia 12 kwa siku
 
Back
Top Bottom