Mashine ya kutengenezea boksi

Mashine ya kutengenezea boksi

dos.2020

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2009
Posts
11,880
Reaction score
10,372
Nahitaji hii kitu, nataka kujua bei yake na wapi naweza kupata, mwenye uelewa nazo tafadhali naomba muongozo
 
India au china.
-Na je unataka semi automatic au full automatic.
-Pia unataka uzalishe box ngapi kwa siku.

Nijibu hayo nikupe suggestions nzuri.
Ingawa unaweza nunua flatbed cutting plotter pamoja na screen printing machine ambayo ni automatic single au double station.

Kwamaana ya unakata kwa flatbed then una print kwa screen.

Kila la kheri.
 
India au china.
-Na je unataka semi automatic au full automatic.
-Pia unataka uzalishe box ngapi kwa siku.

Nijibu hayo nikupe suggestions nzuri.
Ingawa unaweza nunua flatbed cutting plotter pamoja na screen printing machine ambayo ni automatic single au double station.

Kwamaana ya unakata kwa flatbed then una print kwa screen.

Kila la kheri.

Kwa kweli mimi sina uzoefu wowote kuhusu hizo mashine ndio mwanzo naanza ulizia. Mimi ni mtu wakutengeneza stika kwenye vichupa, wateja wangu wengi wamekua wakinishauri nitafute hiyo kitu kwa kua wanapata tabu sana.
Kwa maana nahitaji maelezo ya kina kwa anaefahamu hizo mashine na matumizi yake
 
Kwa kweli mimi sina uzoefu wowote kuhusu hizo mashine ndio mwanzo naanza ulizia. Mimi ni mtu wakutengeneza stika kwenye vichupa, wateja wangu wengi wamekua wakinishauri nitafute hiyo kitu kwa kua wanapata tabu sana.
Kwa maana nahitaji maelezo ya kina kwa anaefahamu hizo mashine na matumizi yake
Mtaji wako tu, kumbuka hicho ni kiwanda inabidi ujipange.
 
Kwa kweli mimi sina uzoefu wowote kuhusu hizo mashine ndio mwanzo naanza ulizia. Mimi ni mtu wakutengeneza stika kwenye vichupa, wateja wangu wengi wamekua wakinishauri nitafute hiyo kitu kwa kua wanapata tabu sana.
Kwa maana nahitaji maelezo ya kina kwa anaefahamu hizo mashine na matumizi yake
Uko wapi, mimi natengeneza box nipo mbeya.
 
Kwa kweli mimi sina uzoefu wowote kuhusu hizo mashine ndio mwanzo naanza ulizia. Mimi ni mtu wakutengeneza stika kwenye vichupa, wateja wangu wengi wamekua wakinishauri nitafute hiyo kitu kwa kua wanapata tabu sana.
Kwa maana nahitaji maelezo ya kina kwa anaefahamu hizo mashine na matumizi yake
Nicheck pm nikupe aina ya mashine kwa kiwanda cha kidogo.
 
Back
Top Bottom