Transistor JF-Expert Member Joined Aug 8, 2013 Posts 1,061 Reaction score 1,637 Sep 8, 2020 #1 -Ujazo mayai 90 -Inageuza mayai -ina ratibu mvuke -Inaratibu joto -Matumizi ya umeme hadi kutotoa wastani wa UNIT 25 (Tsh 12000/-) -Material Chuma + Plastik ngumu (inaangaza ndani). -Ina uzito wa Kg 6,bila mayai -Wastani wa utotoreshaji kwa mayai yalio Bora ni 80% -Kipimo Cha kusomea kiasi cha joto kimewekwa. -Matengenezo kwa oda (Muda siku Tatu za kazi) Bei Tsh 200,000/- Mawasiliano 0629068815 Dar es Salaam mtaa wa Lindi.
-Ujazo mayai 90 -Inageuza mayai -ina ratibu mvuke -Inaratibu joto -Matumizi ya umeme hadi kutotoa wastani wa UNIT 25 (Tsh 12000/-) -Material Chuma + Plastik ngumu (inaangaza ndani). -Ina uzito wa Kg 6,bila mayai -Wastani wa utotoreshaji kwa mayai yalio Bora ni 80% -Kipimo Cha kusomea kiasi cha joto kimewekwa. -Matengenezo kwa oda (Muda siku Tatu za kazi) Bei Tsh 200,000/- Mawasiliano 0629068815 Dar es Salaam mtaa wa Lindi.
That Gentleman JF-Expert Member Joined Dec 16, 2016 Posts 2,215 Reaction score 3,678 Aug 24, 2021 #2 Mkuu uko vizuri sana.
KANYEGELO JF-Expert Member Joined Nov 12, 2019 Posts 2,238 Reaction score 4,885 Aug 28, 2021 #3 Mkuu nimekukubali na nimefurahia kukutana na uzi wako maana Soon nahitaji nianze ufugaji wa kuku ,nadhani hitaji moja wapo ni kuwa na hii mashine VERY SOON NAKUCHEK
Mkuu nimekukubali na nimefurahia kukutana na uzi wako maana Soon nahitaji nianze ufugaji wa kuku ,nadhani hitaji moja wapo ni kuwa na hii mashine VERY SOON NAKUCHEK
Baraka21 JF-Expert Member Joined Mar 15, 2021 Posts 1,262 Reaction score 3,184 Aug 29, 2021 #4 Ubunifu mzuri