khalifa awe Senior Member Joined Sep 21, 2016 Posts 147 Reaction score 31 Nov 30, 2022 #1 Naomba kujua namna ya kupata hizi Mashine za kuuzia maji wanayouza kwa Lita sh.200/- na ni bei gani na wapi napata? NB: Nahitaji mpya dukani.
Naomba kujua namna ya kupata hizi Mashine za kuuzia maji wanayouza kwa Lita sh.200/- na ni bei gani na wapi napata? NB: Nahitaji mpya dukani.
makaveli10 JF-Expert Member Joined Mar 27, 2013 Posts 31,583 Reaction score 92,670 Nov 30, 2022 #2 Nami nazisaka, nilijaribu kupiga picha sehemu, nilijaribu kumdodosa jamaa akagoma kunipa maelekezo. Kwenye picha hii inazalisha lita 500, hakunipa maelezo zaidi ya hayo, sijui alihisi nataka nifungue karibu na kijiwe chake 🤔 Attachments IMG_20221128_134020.jpg 997.9 KB · Views: 42
Nami nazisaka, nilijaribu kupiga picha sehemu, nilijaribu kumdodosa jamaa akagoma kunipa maelekezo. Kwenye picha hii inazalisha lita 500, hakunipa maelezo zaidi ya hayo, sijui alihisi nataka nifungue karibu na kijiwe chake 🤔
tamsana JF-Expert Member Joined Jan 13, 2012 Posts 3,739 Reaction score 8,044 Nov 30, 2022 #3 Huo ni mradi wa Professor mmoja tupo chuo cha Nelson Mandela Arusha. Jaribu kutafuta mawasiliano yake. Sijajua kama hizo mashine anauza au anafanyaje na anayeiendesha/simamia.
Huo ni mradi wa Professor mmoja tupo chuo cha Nelson Mandela Arusha. Jaribu kutafuta mawasiliano yake. Sijajua kama hizo mashine anauza au anafanyaje na anayeiendesha/simamia.