He! Hata guest house? Unalako jamboTafuta mteja, then uza hayo makorokoro yao.
BTW biashara ya kamari, pombe, sigara, guesthouse , n.a. zingine zinazofanana n.a. hizo naomba mungu anisaidie nisizifanye kabisa maishani mwangu.
Tatizo sheria zake hazifuatwi mkuu, mwisho wa siku zinageuka maficho ya wahuni, sehem za mauaji, vituo vya kufanyia uzinzi, ubakaji nk.
Hata wewe unaweza weka masharti kwenye gesti yako. Halafu ukiwa single hawadai cheti cha ndoa itakua ulikua unaingia na demu weweTatizo sheria zake hazifuatwi mkuu, mwisho wa siku zinageuka maficho ya wahuni, sehem za mauaji, vituo vya kufanyia uzinzi, ubakaji nk.
Guest niliyowahi kuikubali ni moja tu. Ilikuwa ni iringa mhudum akadai cheti cha ndoa nikawa sina maana sijaoa, akagoma kunipa nafasi kuwa ndio sheria zinavyotaka.
Kama mna shamba nenda kalime.
Kwanza sio takataka, ni kamari, pili ni akili zako zinazoenda kucheza so usilalamike sana, km unataka usilichezee basi we lifunge waambie wachina wasepe nalo, or else acha utoto piga kaziHabari zenu ndugu na jamaa wa JF?
Mimi nikijana mchakalikaji sana .baada ya kuona hali ya mzee baba inazidi kuwa ngumu biashara haziendi vizuri nikaona fursa saizi ziko kwenye kamari maana hata wake zetu tukiwahachia hela ya kupika wanaichezea biko na tatu mzuka ,nikatumia nafasi iyo nikaleta mashine ya betting na mashine la mchina (kodokodo) la kuingiza mia mbilimbili .kwa ujumla tangu nimeleta ivo vitu hapa kwenye biashara yangu pamechangamka hukosi vijana .
Muda mwingine unaweza jua kuna kituo cha bodaboda lakini kwa upande wangu imekua tofauti sipat faida yoyote zaidi ni hasara maana nashindwa kujizuia nakuta me mwenywewe nachezea zile tokeni ninazonunua ili niwauzie wateja kama nikichukua chenj za elfu 60 unakuta me nimeliwa elfu 20 kila siku iendayo kwa Mungu ninapoelekea nitashindwa kuendesha familia yangu .me mchina ananilipa laki 2 kwa mwezi lakini me naliwa laki 4 mpaka 6 .
Nishauri nifanye nini maana nakua teja wa hili takataka
Sent using Jamii Forums mobile app
Afu ukiwa unahakika Mungu anakusikia kabisaTafuta mteja, then uza hayo makorokoro yao.
BTW biashara ya kamari, pombe, sigara, guesthouse , n.a. zingine zinazofanana n.a. hizo naomba mungu anisaidie nisizifanye kabisa maishani mwangu.
Kweli aise na mi ndo ninakoelekeaHuku mtaani kwetu kuna dogo alifilisika kwaajili ya hilo takataka na akaamua kuhama mtaa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Bonanza ni zaidi ya addiction, nikipiga hesabu mpk sasa nshaliwa milioni 2 na ushee, afu unaona kma vile mia mbili mbili ni hela ndogo kuja kushtuka ushapoteza elfu hamsini!