kj75 JF-Expert Member Joined Feb 17, 2019 Posts 539 Reaction score 637 Mar 14, 2025 #1 Habar, Ni matumaini yangu wazima wa afya wapi naweza kupatta mawasiliano na wahusika wa hizo mashine nataka niwe wakala wao mawasiliano plz jamani Ni hayo tu mabibi na mabwana muwe na ijumaa njema
Habar, Ni matumaini yangu wazima wa afya wapi naweza kupatta mawasiliano na wahusika wa hizo mashine nataka niwe wakala wao mawasiliano plz jamani Ni hayo tu mabibi na mabwana muwe na ijumaa njema
Kidagaa kimemwozea JF-Expert Member Joined Jul 13, 2018 Posts 3,680 Reaction score 6,554 Mar 14, 2025 #2 Na sasa kuna za bahati nasibu ya taifa. Kazi kwako
kj75 JF-Expert Member Joined Feb 17, 2019 Posts 539 Reaction score 637 Mar 14, 2025 Thread starter #3 Ndo zipi hizo mkuu Kidagaa kimemwozea said: Na sasa kuna za bahati nasibu ya taifa. Kazi kwako Click to expand...
Ndo zipi hizo mkuu Kidagaa kimemwozea said: Na sasa kuna za bahati nasibu ya taifa. Kazi kwako Click to expand...
chizcom JF-Expert Member Joined Jul 31, 2016 Posts 8,680 Reaction score 18,035 Mar 14, 2025 #4 Zile za wachina utaki.ila kumbuka za wachina wakikuta umeliwa kwenye mashine zao hakuna pesa wanakupeleka polisi
Zile za wachina utaki.ila kumbuka za wachina wakikuta umeliwa kwenye mashine zao hakuna pesa wanakupeleka polisi
kj75 JF-Expert Member Joined Feb 17, 2019 Posts 539 Reaction score 637 Mar 14, 2025 Thread starter #5 chizcom said: Zile za wachina utaki.ila kumbuka za wachina wakikuta umeliwa kwenye mashine zao hakuna pesa wanakupeleka polisi Click to expand... Nazo pia nahitaji naombeni connection!!
chizcom said: Zile za wachina utaki.ila kumbuka za wachina wakikuta umeliwa kwenye mashine zao hakuna pesa wanakupeleka polisi Click to expand... Nazo pia nahitaji naombeni connection!!
Kidagaa kimemwozea JF-Expert Member Joined Jul 13, 2018 Posts 3,680 Reaction score 6,554 Mar 14, 2025 #6 Ingia kwenye tovuti ya Gal sport andalia contact, wapigie waambie unahutaji mashine