INAUZWA Mashine za kupima pressure na sukari (BP monitor &Glucometer)

Senfrey medical

New Member
Joined
Mar 31, 2022
Posts
2
Reaction score
2
Kwa wagonjwa wanaosumbuliwa na shinikizo la damu na kisukari tunauza mashine ambazo utaweza kuzitumia kupima mara kwa mara na kujua maendeleo yako.
Mashine ya sukari ina strips 25 za kuanzia kupimia...bei ni 50,000/=
Mashine ya pressure ina tumia batteries na charger ya umeme... bei 100,000/=
Karibuni sana
Call/WhatsApp+255684481600
Location: Mawasiliano Dar es salaam
 
T
Asanteh
Tupe bei mkuu, Pia Huna BP Omron
 
Hiyo yenye strips 50 za kuanzia, kuna mahitaji mengine ya kuongezea tena au?
 
Hivi kile kimpira toka kwenye machine ya kupima BP hadi kwenye mkono kikiharibika huwa kuna spare yake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…