Mashine za kusaga ya umeme

Mashine za kusaga ya umeme

kasagama

Member
Joined
Nov 6, 2016
Posts
21
Reaction score
31
Habarin wana forum mi ni mkazi wa kigoma wilaya ya kasulu mjini kwa anayefahamu gharama ya mashine ya kusaga kwa kipindi hiki ipoje na kuhusu faida pamoja na hasara, na gharama za kuvuta umeme
 
Back
Top Bottom