Mashine za kusaga ya umeme

kasagama

Member
Joined
Nov 6, 2016
Posts
21
Reaction score
31
Habarin wana forum mi ni mkazi wa kigoma wilaya ya kasulu mjini kwa anayefahamu gharama ya mashine ya kusaga kwa kipindi hiki ipoje na kuhusu faida pamoja na hasara, na gharama za kuvuta umeme
 
Natumae mleta mada ulipata muongozo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…