Mashine

Buswelu

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2007
Posts
1,998
Reaction score
356
Mashine ya kungundua wezi ilijaribiwa marekani & kwingineko.Marekani ndani ya dakika 30 ilinasa wezi 500,zimbabwe dakika 20 wezi laki 20,Kenya dakika 10 wezi Milioni 2.Tanzania ndani ya dakika 5 mashine iliibiwa.
 
Ha ha ha hiyo ndio bongo nayoijua mimi,kuna kampuni ya kijapani-Kajima ilibidi walete cement ambayo hata ukichanganya na maji haigandi mpaka uweke dawa maalum,hii ni baada ya kuibiwa saana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…