Mashirika ya ndege nchini rekebisheni hili

Mashirika ya ndege nchini rekebisheni hili

NostradamusEstrademe

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2017
Posts
3,402
Reaction score
4,532
Jumatatu iliyopita ilikuwa nitoke Mwanza kwenda dar kwa ndege ya shirika flani X saa sita mchana tukaambiwa kuna shida tukapelekwa hotelini tukaambiwa inaweza ondoka jioni. Jioni haikuwa hivyo tukaambiwa labda saa nne usiku, haikuwa hivyo tukalala hadi asubuhi.

Asubuhi tukaambiwa labda saa sita mchana aikuwa hivyo matokeo yake tukakaa hadi saa nne usiku ndio tukaondoka kumbuka hiyo ni jumanne yaani siku zaidi ya moja imepita.

Baadhi ya abira walilalamika yuko mmoja alikuwa anakwenda kwenye interview dar ilikuwa inafanyika jumanne asubuhi automatically aliikosa. Yupo mmoja alikuwa anakwenda kwenye kesi dar hakufika na alikuwa mlalamikaji hatujui kesi ilifutwa au vipi kwa mlalamikaji kutokufika mahakamani.

Yupo aliyekuwa anafanya connection na ndege ya shirika la ndege la Ethiopia sijui ilikuwaje kwakweli. Yuko mmoja alipata kaupenyo kazini kwake kwenda msibani dar maana katika siku zake za mapumziko alibakiza siku mbili tu hivyo angekwenda dar na kugeuza kesho yake matokeo yake sijui kazini kwake watamchukulia mtoro? na kitengo chake yuko peke yake hivyo kuna emergency ilitokea kazini wakampa severe reprimand.

Yote haya yasingetokea kusingekuwa na ndege kuchelewa. Sina ubishi na mashirika ya ndege kuhusu usalama wa abiria na ndege ni namba one hata wewe kungekuwa na ndege ipo uwanjani ukaambiwa hii ndege ina hitilafu lakini kama mnataka kupanda pandeni tu tuombe mungu hakika hakuna atakaye panda.

Nawapa heko kwa hili na ndio maana sikutaka kuweka wazi ni shirika gani kuharibiana biashara maana pia mlifanya hivyo ajili ya usalama wa abira na ndege.

Shida yangu na ushauri wangu ni kwamba mjaribu kuwa na maelewano ya ushirikiano kati ya shirika na shirika ili kulinda majina yenu. Mfano kama hilo shirika X liliona halitaweza basi wangewasiliana na shirika lingine B kufaulisha ku save aibu mateso na aibu kwa shirika kwa kufaulisha abiria.Kitendo cha kuwapangia hotel abiria siku mbili hiyo gharama ingejifidia kwenye kuchukua hiyo ndege nyingine.

Kwa nchi za wenzetu weupe hakuna kitu kama hiki cha kizembe.Miezi mitatu nyuma train ya Japan ilichelewa kufika kwa sekunde kadhaa abiria waliombwa radhi na kufidiwa hapa kwetu hili ni kizungumkuti.

Hiyo picha hapo ni ya abiria aliyekwama airport akijua amekosa interview na ametumia gharama zake hii kwa kweli ni very pathetic

ZINGATIENI USHAURI WANGU itafika mahali itakuwa aheri kupanda SGR.

stressed.png
 
Jumatatu iliyopita ilikuwa nitoke Mwanza kwenda dar kwa ndege ya shirika flani X saa sita mchana tukaambiwa kuna shida tukapelekwa hotelini tukaambiwa inaweza ondoka jioni.Jioni haikuwa hivyo tukaambiwa labda saa nne usiku. haikuwa hivyo tukalala asubuhi.
Asubuhi tukaambiwa labda saa sita mchana ahikuwa hivyo matokeo yake tukaa kaa hadi saa nne usiku ndio tukaondoka kumbuka hiyo ni jumanne yaani siku zaidi ya moja imepita.

Baadhi ya abira walilalamika yuko mmoja alikuwa anakwenda kwenye interview dar ilikuwa inafanyika jumanne asubuhi automatically aliikosa.Yupo mmoja alikuwa anakwenda kwenye kesi dar hakufika na alikuwa mlalamikaji hatujui kesi ilifutwa au vipi kwa mlalamikaji kutokufika mahakamani.
Yupo aliyekuwa anafanya connection na ndege ya shirika la ndege la Ethiopia sijui ilikuwaje kwakweli.
Yuko mmoja alipata kaupenyo kazini kwake kwenda msibani dar maana katika siku zake za mapumziko alibakiza siku mbili tu hivyo angekwenda dar na kugeuza kesho yake matokeo yake sijui kazini kwake watamchukulia mtoro? na kitengo chake yuko peke yake hivyo kuna emergency ilitokea kazini wakampa sever reprimand.

Yote haya yasingetokea kusingekuwa na ndege kuchelewa.Sina ubishi na mashirika ya ndege kuhusu usalama wa abiria na ndege ni namba one hata wewe kungekuwa na ndege ipo uwanjani ukaambiwa hii ndege ina hitilafu lakini kama mnataka kupanda pandeni tu tuombe mungu hakika hakuna atakaye panda.

Nawapa heko kwa hili na ndio maana sikutaka kuweka wazi ni shirika gani kuharibiana biashara maana pia mlifanya hivyo ajili ya usalama wa abira na ndege.
Shida yangu na ushauri wangu ni kwamba mjaribu kuwa na maelewano ya ushirikiano kati ya shirika na shirika ili kulinda majina yenu.Mfanao kama hilo shirika X liliona halitaweza basi wangewasiliana na shirika lingine B kufaulisha ku save aibu mateso na aibu kwa shirika kwa kufaulisha abiria.Kitendo cha kuwapangia hotel abiria siku mbili hiyo gharama ingejifidia kwenye kuchukua hiyo ndege ingine.

Kwa nchi za wenzetu weupe hakuna kitu kama hiki cha kizembe.Miezi mitatu nyuma train ya Japan ilichelewa kufika kwa sekunde kadhaa abiria waliomba radhi na kufidiwa hapa kwetu hili ni kizungumkuti.

Hiyo picha hapo ni ya abiria aliyekwama airport akijua amekosa interview na ametumia gharama zake hii kwa kweli ni very pathetic

ZINGATIENI USHAURI WANGU itafika mahali itakuwa aheri kupand SGR
Hao ni ATCL unaona aibu gani kuwataja?! Ndio maana Tanzania ni vigumu kuendelea kwani hata kuwataja wahalifu ni ngumu sana kwetu.
 
Jumatatu iliyopita ilikuwa nitoke Mwanza kwenda dar kwa ndege ya shirika flani X saa sita mchana tukaambiwa kuna shida tukapelekwa hotelini tukaambiwa inaweza ondoka jioni. Jioni haikuwa hivyo tukaambiwa labda saa nne usiku, haikuwa hivyo tukalala asubuhi.

Asubuhi tukaambiwa labda saa sita mchana ahikuwa hivyo matokeo yake tukaa kaa hadi saa nne usiku ndio tukaondoka kumbuka hiyo ni jumanne yaani siku zaidi ya moja imepita.

Baadhi ya abira walilalamika yuko mmoja alikuwa anakwenda kwenye interview dar ilikuwa inafanyika jumanne asubuhi automatically aliikosa. Yupo mmoja alikuwa anakwenda kwenye kesi dar hakufika na alikuwa mlalamikaji hatujui kesi ilifutwa au vipi kwa mlalamikaji kutokufika mahakamani.

Yupo aliyekuwa anafanya connection na ndege ya shirika la ndege la Ethiopia sijui ilikuwaje kwakweli. Yuko mmoja alipata kaupenyo kazini kwake kwenda msibani dar maana katika siku zake za mapumziko alibakiza siku mbili tu hivyo angekwenda dar na kugeuza kesho yake matokeo yake sijui kazini kwake watamchukulia mtoro? na kitengo chake yuko peke yake hivyo kuna emergency ilitokea kazini wakampa sever reprimand.

Yote haya yasingetokea kusingekuwa na ndege kuchelewa. Sina ubishi na mashirika ya ndege kuhusu usalama wa abiria na ndege ni namba one hata wewe kungekuwa na ndege ipo uwanjani ukaambiwa hii ndege ina hitilafu lakini kama mnataka kupanda pandeni tu tuombe mungu hakika hakuna atakaye panda.

Nawapa heko kwa hili na ndio maana sikutaka kuweka wazi ni shirika gani kuharibiana biashara maana pia mlifanya hivyo ajili ya usalama wa abira na ndege.

Shida yangu na ushauri wangu ni kwamba mjaribu kuwa na maelewano ya ushirikiano kati ya shirika na shirika ili kulinda majina yenu. Mfanao kama hilo shirika X liliona halitaweza basi wangewasiliana na shirika lingine B kufaulisha ku save aibu mateso na aibu kwa shirika kwa kufaulisha abiria.Kitendo cha kuwapangia hotel abiria siku mbili hiyo gharama ingejifidia kwenye kuchukua hiyo ndege nyingine.

Kwa nchi za wenzetu weupe hakuna kitu kama hiki cha kizembe.Miezi mitatu nyuma train ya Japan ilichelewa kufika kwa sekunde kadhaa abiria waliomba radhi na kufidiwa hapa kwetu hili ni kizungumkuti.

Hiyo picha hapo ni ya abiria aliyekwama airport akijua amekosa interview na ametumia gharama zake hii kwa kweli ni very pathetic

ZINGATIENI USHAURI WANGU itafika mahali itakuwa aheri kupanda SGR.

shirika limekutendea ubaya halafu unalificha
 
Hata makanisa na misikiti wana siri zao.
Imagine wewe una shirika lako halafu naanika hapa utajisikiaje
Nimesoma ethics za management i know what i am doing
Mimi ni mkurugenzi wa shirika flani
UKiwataja ndio powa utawapa promo kwa kujali usalama wa wateja
 
Hujataja shirika, kwa wanaosafiri mara kwa mara hakika wametambua ni lipi.

Tumeshawahi kukaa Dodoma zaidi ya masaa 3 kusubiri ndege ambayo ilitakiwa kuondoka saa 12 jioni ikaja kuondoka saa 3 usiku bila taarifa yoyote kutolewa na hii ilionekana haitokei mara moja ni zaidi ya mara nyingi.

Yani nimepanga niwepo Dar saa 1 jioni ili asubuhi saa 12 niwepo Dodoma, sasa nikawa nimepoteza masaa 3 kati ya masaa 10 pekee ambayo ningekuwa nayo Dar.

Sasa hasara ya pesa na muda nani anafidia? Sheria pia zinatakiwa ziwabane hao watoa huduma ni heri tusiwe na hizo ndege kuliko biashara kichaa inayofanyika ya kupoteza muda kwenye airports zetu ambazo hata sio rafiki kwa mtumiaji.
 
Hakuna shirika X la Ndege hapa bongoland,,,unaleta malalamiko alafu unafichaficha utakuwa mnafki wewe
 
Back
Top Bottom