Mimi nashauri kwamba serikali isiyoweza kusimamia vyema mali za Watanzania ndiyo inayotakiwa kufutwa.
Maana yake ni kwamba hawa viongozi hawana uwezo wa kuwatumikia waTanzania kwa kuacha mali zao zipotee bure. Kuna sababu gani za wao kuendelea kuwa madarakani?
Shirika ulilokabidhiwa kuliendesha kwa manufaa ya wananchi, linakushinda kuliendesha, suluhisho liwe ni kulifuta shirika?
Nchi inakushinda kuiendesha, TUIFUTE NCHI? Hilo liliwezekana wapi?
Maana yake ni kwamba hawa viongozi hawana uwezo wa kuwatumikia waTanzania kwa kuacha mali zao zipotee bure. Kuna sababu gani za wao kuendelea kuwa madarakani?
Shirika ulilokabidhiwa kuliendesha kwa manufaa ya wananchi, linakushinda kuliendesha, suluhisho liwe ni kulifuta shirika?
Nchi inakushinda kuiendesha, TUIFUTE NCHI? Hilo liliwezekana wapi?