Mashirikisho ya Filamu, Sanaa za Maonesho na Ufundi Tanzania Wakutana na Katibu Mwenezi CCM Taifa

Mashirikisho ya Filamu, Sanaa za Maonesho na Ufundi Tanzania Wakutana na Katibu Mwenezi CCM Taifa

JUMA JUMA

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
790
Reaction score
964
MASHIRIKISHO YA FILAMU, SANAA ZA MAONESHO NA UFUNDI TANZANIA WA KUTANA NA MWENEZI CCM TAIFA

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka (Leo) Ijumaa 4 Machi, 2022 amekutana na kufanya mazungumzo na Marais wa Mashirikisho matatu ya Filamu, Sanaa na Ufundi Tanzania pamoja na wazalishaji wa (Bongo Movie) ofisi ndogo ya CCM Lumumba.

Pamoja na Mambo mengine Mashirikisho hayo yamesema yanafurahishwa na uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa namna ambavyo tasnia zao zimeanza kunufaika na kazi zao ndani ya kipindi kifupi cha mwaka mmoja wa uongozi wake.

Viongozi walioshiriki mazungumzo hayo kwa niaba ya wenzao ni pamoja na Elia David Mjata (Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania,) Cynthia Patrick Henjewele (Rais wa Shirikisho la Sanaa za Maonesho Tanzania, Adrian Nyangamalle Rais wa Shirikisho la Sanaa za Ufundi Tanzania, Aziz Mohamed Ahmed mzalishaji wa Tamthilia ya Huba pamoja na Msanii wa filamu za kitanzania Simon J Mwapagata.

#ChamaImara
#KazIndelea

IMG-20220304-WA0641.jpg

IMG-20220304-WA0642.jpg

IMG-20220304-WA0640.jpg

IMG-20220304-WA0637.jpg
 
Safi! Ongezeni ubunifu ktk uandishi wa filamu na uongozi

Mkiandika filamu nzuri mtauza ndani na nje ya Tanzania. Mfano mpaka Leo dunia inataka kujua (how) Operation Anjuani ilivyokuwa. Au jinsi Rais aliyepinduliwa akiwa kikazi DSM na jinsi alivyorudishwa na makomandoo wetu mpaka ikulu ya 'Bujumbura'.

Kifupi andikeni filamu 1 au hats 2 zenye kushika
 
JUMA JUMA, safari ya Marekani aliyotuahidi Askofu Gwajima vijana wa Kawe akishinda Ubunge tunaenda lini? Maana ndio ulikuwa unalipigia debe sana[emoji1787]leo umehamia kwa Mwenezi tena daaah, kazi unayo
 
Back
Top Bottom