Mashoga kuhesabiwa kenya

Mashoga kuhesabiwa kenya

Kimbweka

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2009
Posts
8,597
Reaction score
1,690
Kituko kingine kimeibuka hapo kenya kwa kudhamiria kufanya sensa ya wanaume wanaofanya mapenzi na wanaume wenzao (mashoga) ili kupunguza maambukizo ya ukimwi! Hapa tanzania vipi haya ma-shangazi nayo yahesabiwe au vipi duh lakini ni aibu sanaaa....
 
Sio aibu, these are important stats especially for health purposes, we cant keep sweeping these issues under the carpet, this group has 5 times more risk of getting HIV than the rest of us, dont you think its important we know the exact number? Its obvious that people are doing it, and there are alot of bisexuals in our midst, its good we get a number rather than guess figures.
 
Hii aibu kwani Serikali ikikubali hivyo tu basi kitendo hiko kina support 100% please Serikali msikubali haya mambo ya kuiga yatatutokea puani. TUSIJARIBU HATA KIDOGO KUHESABU HAWA MA ANT POA
 
Waache wawahesabu mashoga wao. Nina uhakika wataanzia Mombasa.
 
wameanza kuona hawa sasa wanahesabiwa kesho na keshokutwa tutasikia wamekubali kuruhusu ndoa hizo.
 
Kwa wale wanaojinyesha ushoga wao pengine sensa itasaidia.
Je wale walioko mafichoni watawajua vipi?

Au wanaume wote wa Kenya watavuliwa nguo nakuangaliwa sehemu zao za siri?
 
Sio aibu, these are important stats especially for health purposes, we cant keep sweeping these issues under the carpet, this group has 5 times more risk of getting HIV than the rest of us, dont you think its important we know the exact number? Its obvious that people are doing it, and there are alot of bisexuals in our midst, its good we get a number rather than guess figures.

Kwa maana hio kwa vile Afrika ina HIV+ wengi basi afrika inaongoza kwa mashoga.
 
Unaweza kuta idadi ya mashoga ni kubwa kulinganisha na wale wasio mashoga aka machoko.
Laanatullah!
 
Kwa wale wanaojinyesha ushoga wao pengine sensa itasaidia.
Je wale walioko mafichoni watawajua vipi?

Au wanaume wote wa Kenya watavuliwa nguo nakuangaliwa sehemu zao za siri?
Hivi na wale mabasha wanaowabandua wenzao na wao wanaingizwa kwenye chart? je nao watajitokeza..?
Waanze na serikalini vitengo nyeti.
 
tukifanya hiyo sensa huku ujue tunahesabu tuchimbe makaburi yao mangapi maana tutawanyonga tu............
 
Back
Top Bottom