engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,149
- 1,441
- Thread starter
-
- #21
Pole shem,dawa ni kujimuvuzisha tu.Nimesikia kutapika hata sijui kwanini nimefungua hapa kha!!!
pole bibieNimesikia kutapika hata sijui kwanini nimefungua hapa kha!!!
relax afro huwezi kuzaa mtoto ambaye si riziki na nakuombea kwa mola hii hautakutokea hata sku mojamtoto ni baraka
Nitakachopewa na Mungu
Nitakipokea na kukifurahia..
YES I WILL THANK GOD
FOR GIVING ME A KID :A S-baby:
mmmm! unanisisimua mwenzio hukuππ mi mzima wa afya
mmmm! unanisisimua mwenzio hukuππ mi mzima wa afya
natafuta dawa ya huu msisimko aiseeππhahahahah lol
haya bwana na
furahi kusikia we ni
mzima na unasisimuka hahahahah lol
natafuta dawa ya huu msisimko aiseeππ